Isaya 65:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wale wanaosema, ‘Kaa peke yako. Usinikaribie, kwa maana hakika nitakupa utakatifu.’+ Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu,+ moto unaowaka mchana kutwa.+ Mathayo 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mafarisayo walipoona hilo wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+ Luka 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yesu akajibu, akawaambia: “Wale walio na afya hawahitaji tabibu,+ bali wale wanaougua ndio wanaomhitaji.+
5 wale wanaosema, ‘Kaa peke yako. Usinikaribie, kwa maana hakika nitakupa utakatifu.’+ Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu,+ moto unaowaka mchana kutwa.+
11 Mafarisayo walipoona hilo wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+
31 Yesu akajibu, akawaambia: “Wale walio na afya hawahitaji tabibu,+ bali wale wanaougua ndio wanaomhitaji.+