Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baadaye akawa ameketi mezani, nyumbani kwake, na wakusanya-kodi+ wengi na watenda-dhambi walikuwa wameketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana walikuwa wengi nao wakaanza kumfuata.+

  • Marko 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waandishi wa Mafarisayo, walipoona alikuwa akila pamoja na watenda-dhambi na wakusanya-kodi, wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Je, yeye hula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+

  • Luka 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+

  • Luka 7:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Alipoona hayo yule Farisayo aliyemwalika akasema moyoni mwake: “Mtu huyu, kama angekuwa nabii,+ angejua mwanamke huyu anayemgusa ni nani na ni mtu wa aina gani, kwamba ni mtenda-dhambi.”+

  • Luka 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa sababu hiyo Mafarisayo na pia waandishi wakanung’unika, wakisema: “Mtu huyu hukaribisha watenda-dhambi na hula pamoja nao.”+

  • Luka 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini walipoona hilo, wote wakaanza kunung’unika,+ wakisema: “Ameingia apate kukaa pamoja na mwanamume mtenda-dhambi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki