15 Baadaye akawa ameketi mezani, nyumbani kwake, na wakusanya-kodi+ wengi na watenda-dhambi walikuwa wameketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana walikuwa wengi nao wakaanza kumfuata.+
16 Lakini waandishi wa Mafarisayo, walipoona alikuwa akila pamoja na watenda-dhambi na wakusanya-kodi, wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Je, yeye hula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+
30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+
39 Alipoona hayo yule Farisayo aliyemwalika akasema moyoni mwake: “Mtu huyu, kama angekuwa nabii,+ angejua mwanamke huyu anayemgusa ni nani na ni mtu wa aina gani, kwamba ni mtenda-dhambi.”+