Mathayo 27:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Walipokuwa wakiondoka walimkuta mzaliwa wa Kirene anayeitwa Simoni.+ Wakamlazimisha aubebe mti wake wa mateso. Luka 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Sasa walipokuwa wakimpeleka, walimshika Simoni, mzaliwa wa Kirene, akija kutoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso aubebe nyuma ya Yesu.+
32 Walipokuwa wakiondoka walimkuta mzaliwa wa Kirene anayeitwa Simoni.+ Wakamlazimisha aubebe mti wake wa mateso.
26 Sasa walipokuwa wakimpeleka, walimshika Simoni, mzaliwa wa Kirene, akija kutoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso aubebe nyuma ya Yesu.+