24 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa+ kumhusu, lakini ole+ wake mtu yule ambaye kupitia kwake Mwana wa binadamu atasalitiwa!+ Ingalikuwa afadhali kwake kama mtu huyo asingalizaliwa.”
11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+
14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+