Marko 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini kwa kutoweza kumleta moja kwa moja mpaka alipokuwa Yesu kwa sababu ya umati, wakaiondoa paa juu ya mahali alipokuwa, na baada ya kutoboa tundu wakakiteremsha kitanda ambacho juu yake yule mwenye kupooza alikuwa amelala.+
4 Lakini kwa kutoweza kumleta moja kwa moja mpaka alipokuwa Yesu kwa sababu ya umati, wakaiondoa paa juu ya mahali alipokuwa, na baada ya kutoboa tundu wakakiteremsha kitanda ambacho juu yake yule mwenye kupooza alikuwa amelala.+