Mathayo 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na yule aliyepandwa mahali penye miamba, huyo ndiye anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+ Marko 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo hawa ndio wale waliopandwa mahali penye miamba: mara tu baada ya kulisikia neno, wanalipokea kwa shangwe.+
20 Na yule aliyepandwa mahali penye miamba, huyo ndiye anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+
16 Vivyo hivyo hawa ndio wale waliopandwa mahali penye miamba: mara tu baada ya kulisikia neno, wanalipokea kwa shangwe.+