Mathayo 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi alipotokea akaona umati mkubwa; naye akawasikitikia,+ akaponya wagonjwa wao.+ Marko 6:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, lakini akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+ Yohana 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini umati mkubwa wakamfuata, kwa sababu walikuwa wakiona ishara alizokuwa akifanya juu ya wale waliokuwa wakiugua.+
34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, lakini akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+
2 Lakini umati mkubwa wakamfuata, kwa sababu walikuwa wakiona ishara alizokuwa akifanya juu ya wale waliokuwa wakiugua.+