41 Sasa akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akatoa baraka,+ akaimega+ ile mikate na kuanza kuwapa wanafunzi, ili wapate kuiweka mbele ya watu hao; naye akawagawanya wale samaki wawili kwa ajili ya watu wote.
11 Basi Yesu akachukua ile mikate na, baada ya kushukuru, akaigawanya kwa wale waliokuwa wameketi, vivyo hivyo pia wale samaki wadogo kadiri walivyotaka.+