Mathayo 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na yeyote yule asiyeuchukua mti wake wa mateso na kunifuata hanistahili.+ Mathayo 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+ Marko 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Basi akauita umati pamoja na wanafunzi wake na kuwaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+ Luka 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote yule asiyeuchukua mti wake wa mateso na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+
24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+
34 Basi akauita umati pamoja na wanafunzi wake na kuwaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+