Mathayo 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na yeyote yule asiyeuchukua mti wake wa mateso na kunifuata hanistahili.+ Mathayo 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+ Luka 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo akaendelea kuwaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane+ mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso siku baada ya siku na kunifuata sikuzote.+ Luka 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote yule asiyeuchukua mti wake wa mateso na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+ Wagalatia 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, wale walio wa Kristo Yesu waliutundika mwili mtini pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.+
24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+
23 Ndipo akaendelea kuwaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane+ mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso siku baada ya siku na kunifuata sikuzote.+
24 Zaidi ya hayo, wale walio wa Kristo Yesu waliutundika mwili mtini pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.+