19 Basi Mungu akasema: “Sara mke wako kwa kweli atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Isaka.+ Nami nitafanya agano langu pamoja naye kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo kwa uzao wake baada yake.+
16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+