Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Usiufuate umati kwa ajili ya makusudio maovu;+ wala usishuhudie juu ya ubishi ili kugeuka kando pamoja na umati kwa kusudi la kupotosha haki.+

  • Danieli 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Naye ataendelea kulitendesha agano+ kwa ajili ya wengi kwa juma moja;+ na katika nusu ya juma hilo atakomesha dhabihu na toleo la zawadi.+

      “Na juu ya bawa la machukizo kutakuwa na yule anayesababisha ukiwa;+ na mpaka maangamizi, kitu kile kilichoamuliwa kitamwagika pia juu ya yule anayekaa ukiwa.”+

  • Mathayo 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo akawafungulia Baraba, lakini akaagiza Yesu apigwe mijeledi+ na kumtoa ili atundikwe mtini.+

  • Mathayo 27:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mwishowe, walipokuwa wamemdhihaki,+ wakalivua lile joho na kumvika mavazi yake ya nje na kumpeleka akatundikwe mtini.+

  • Marko 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+

  • Luka 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu ili dai lao litimizwe:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki