Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 69:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini walinipa mmea wenye sumu kuwa chakula,+

      Na kwa ajili ya kiu yangu wakajaribu kuninywesha siki.+

  • Mathayo 27:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na mmoja wao akakimbia mara moja, akachukua sifongo akailowesha kwenye divai kali+ akaiweka juu ya utete na kuanza kumnywesha.+

  • Marko 15:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka juu ya utete, na kuanza kumnywesha,+ akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”+

  • Luka 23:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Hata wale askari wakamdhihaki,+ wakija karibu na kumpa divai kali+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki