Zaburi 69:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini walinipa mmea wenye sumu kuwa chakula,+Na kwa ajili ya kiu yangu wakajaribu kuninywesha siki.+ Mathayo 27:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Na mmoja wao akakimbia mara moja, akachukua sifongo akailowesha kwenye divai kali+ akaiweka juu ya utete na kuanza kumnywesha.+ Marko 15:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka juu ya utete, na kuanza kumnywesha,+ akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”+ Luka 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Hata wale askari wakamdhihaki,+ wakija karibu na kumpa divai kali+
21 Lakini walinipa mmea wenye sumu kuwa chakula,+Na kwa ajili ya kiu yangu wakajaribu kuninywesha siki.+
48 Na mmoja wao akakimbia mara moja, akachukua sifongo akailowesha kwenye divai kali+ akaiweka juu ya utete na kuanza kumnywesha.+
36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka juu ya utete, na kuanza kumnywesha,+ akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”+