-
Marko 15:36Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sponji kwa divai iliyochacha, akaiweka juu ya tete, na kuanza kumnywesha, akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya aja kumshusha chini.”
-