Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+ Yohana 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Bila shaka, hakuna aliyekuwa akisema juu yake hadharani kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.+ Yohana 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wazazi wake walisema mambo hayo kwa sababu walikuwa wakiwaogopa+ Wayahudi, kwa maana Wayahudi walikuwa tayari wamefikia mapatano kwamba, ikiwa yeyote angemkiri kuwa ndiye Kristo, angefukuzwa katika sinagogi.+
22 Wazazi wake walisema mambo hayo kwa sababu walikuwa wakiwaogopa+ Wayahudi, kwa maana Wayahudi walikuwa tayari wamefikia mapatano kwamba, ikiwa yeyote angemkiri kuwa ndiye Kristo, angefukuzwa katika sinagogi.+