Yohana 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mmoja wa wanafunzi wake alikuwa ameegama kifuani pa Yesu, naye Yesu alimpenda.+ Yohana 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo Yesu, alipomwona mama yake na mwanafunzi ambaye alimpenda+ wamesimama kando, akamwambia mama yake: “Mwanamke, ona! Mwana wako!” Yohana 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akakimbia na kuja kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi+ mwingine, ambaye Yesu alikuwa anampenda, naye akawaambia: “Wamemwondoa Bwana kutoka katika kaburi,+ nasi hatujui wamemlaza wapi.”
26 Kwa hiyo Yesu, alipomwona mama yake na mwanafunzi ambaye alimpenda+ wamesimama kando, akamwambia mama yake: “Mwanamke, ona! Mwana wako!”
2 Kwa hiyo akakimbia na kuja kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi+ mwingine, ambaye Yesu alikuwa anampenda, naye akawaambia: “Wamemwondoa Bwana kutoka katika kaburi,+ nasi hatujui wamemlaza wapi.”