41 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki+ nao watakihukumu kuwa chenye hatia;+ kwa sababu wao walitubu juu ya lile alilohubiri Yona,+ lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Yona yuko hapa.
31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.