Mathayo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+ Marko 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wingu likatokea, likawafunika, na sauti+ ikatoka katika lile wingu: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa; msikilizeni.”+ Yohana 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yesu akajibu, akasema: “Sauti hii imetokea, si kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.+ 1 Yohana 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tukipokea ushahidi ambao wanadamu hutoa,+ ushahidi ambao Mungu hutoa ni mkuu zaidi, kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa, jambo la kwamba ametoa ushahidi+ kumhusu Mwana wake.
17 Tazama! Kulikuwa pia na sauti+ kutoka mbinguni iliyosema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa,+ ambaye nimemkubali.”+
7 Na wingu likatokea, likawafunika, na sauti+ ikatoka katika lile wingu: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa; msikilizeni.”+
9 Tukipokea ushahidi ambao wanadamu hutoa,+ ushahidi ambao Mungu hutoa ni mkuu zaidi, kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa, jambo la kwamba ametoa ushahidi+ kumhusu Mwana wake.