Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 15:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Sasa yule ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama kando yake akimtazama, alipoona kwamba amekufa katika hali hizo, akasema: “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+

  • Yohana 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+

  • Yohana 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yohana pia alitoa ushahidi, akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki