Marko 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Sasa yule ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama kando yake akimtazama, alipoona kwamba amekufa katika hali hizo, akasema: “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+ Yohana 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+ Yohana 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yohana pia alitoa ushahidi, akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+
39 Sasa yule ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama kando yake akimtazama, alipoona kwamba amekufa katika hali hizo, akasema: “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+
29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+
32 Yohana pia alitoa ushahidi, akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+