Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+ Yohana 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Huyo alimjia wakati wa usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ukiwa mwalimu+ umekuja kutoka kwa Mungu;+ kwa maana hakuna anayeweza kufanya ishara+ hizi ambazo unafanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+ Yohana 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Bado, wengi kati ya umati walimwamini;+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapofika, je, atafanya ishara+ zaidi ya zile ambazo mtu huyu amefanya?” Yohana 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akawajibu: “Niliwaambia, na bado hamwamini. Kazi ninazotenda katika jina la Baba yangu, hizo zinatoa ushahidi juu yangu.+
5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+
2 Huyo alimjia wakati wa usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ukiwa mwalimu+ umekuja kutoka kwa Mungu;+ kwa maana hakuna anayeweza kufanya ishara+ hizi ambazo unafanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+
31 Bado, wengi kati ya umati walimwamini;+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapofika, je, atafanya ishara+ zaidi ya zile ambazo mtu huyu amefanya?”
25 Yesu akawajibu: “Niliwaambia, na bado hamwamini. Kazi ninazotenda katika jina la Baba yangu, hizo zinatoa ushahidi juu yangu.+