Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Huyo alimjia wakati wa usiku+ na kumwambia: “Rabi,+ tunajua kwamba wewe ukiwa mwalimu+ umekuja kutoka kwa Mungu;+ kwa maana hakuna anayeweza kufanya ishara+ hizi ambazo unafanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”+

  • Yohana 5:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Lakini mimi nina ushahidi ulio mkubwa zaidi kuliko ule wa Yohana, kwa maana kazi zilezile ambazo Baba yangu alinigawia kutimiza, kazi hizo zenyewe ambazo ninafanya,+ hutoa ushahidi juu yangu kwamba Baba alinituma.

  • Yohana 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini ikiwa ninazitenda, hata ingawa hamniamini, iweni na imani katika kazi hizo,+ ili mjue na kuendelea kujua kwamba Baba yuko katika muungano pamoja na mimi, nami niko katika muungano pamoja na Baba.”+

  • Yohana 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, wewe huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba na Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia ninyi sisemi kwa kujitungia mwenyewe; bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.+

  • Matendo 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti,+ mwanamume aliyeonyeshwa hadharani na Mungu kwenu kupitia kazi zenye nguvu+ na mambo ya ajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe mnavyojua,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki