Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Yehova akaanza kusema nanyi kutoka katikati ya moto.+ Sauti ya maneno ndiyo mliyokuwa mkiisikia, bali hamkuwa mkiona umbo+ lolote—mlisikia sauti tu.+

  • Yohana 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+

  • Yohana 6:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Si kwamba mwanadamu yeyote amemwona Baba,+ ila yule aliyetoka kwa Mungu; huyo amemwona Baba.+

  • 1 Timotheo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.

  • 1 Yohana 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hakuna yeyote ambaye amemwona Mungu wakati wowote.+ Tukiendelea kupendana, Mungu hukaa ndani yetu na upendo wake unakamilishwa ndani yetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki