Kutoka 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+ Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+ Yohana 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+ Yohana 5:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Pia, Baba aliyenituma yeye mwenyewe ametoa ushahidi juu yangu.+ Ninyi hamjasikia sauti yake wakati wowote wala kuona umbo lake;+ Yohana 6:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Si kwamba mwanadamu yeyote amemwona Baba,+ ila yule aliyetoka kwa Mungu; huyo amemwona Baba.+
20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+
37 Pia, Baba aliyenituma yeye mwenyewe ametoa ushahidi juu yangu.+ Ninyi hamjasikia sauti yake wakati wowote wala kuona umbo lake;+