Luka 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yohana akajibu, akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji; lakini mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, ambaye kamba ya viatu vyake mimi sistahili kuifungua.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na moto.+ Yohana 8:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kabla ya Abrahamu kuwako, mimi nimekuwako.”+ Wakolosai 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote+ na kwa njia yake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,+
16 Yohana akajibu, akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji; lakini mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, ambaye kamba ya viatu vyake mimi sistahili kuifungua.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na moto.+
17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote+ na kwa njia yake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,+