Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Yehova mwenyewe alinitokeza nikiwa mwanzo wa njia yake,+ nikiwa wa mapema zaidi kati ya kazi zake za zamani za kale.+

  • Yohana 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo sasa wewe, Baba, nitukuze kando yako kwa utukufu niliokuwa nao kando yako kabla ya ulimwengu kuwako.+

  • Wafilipi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+

  • Wakolosai 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote+ na kwa njia yake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,+

  • 1 Yohana 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ninawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye wa tangu mwanzo.+ Ninawaandikia ninyi, vijana,+ kwa sababu mmemshinda yule mwovu.+ Ninawaandikia ninyi, watoto wachanga,+ kwa sababu mmemjua Baba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki