Mathayo 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo mmoja wa wale kumi na wawili, anayeitwa Yuda Iskariote,+ akaenda kwa wakuu wa makuhani Yohana 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yuda Iskariote,+ mmoja wa wanafunzi wake, aliyekuwa karibu kumsaliti, akasema: