Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na alipokuwa bado akisema, tazama! Yuda,+ mmoja wa wale kumi na wawili, akaja pamoja na umati mkubwa ukiwa na mapanga+ na marungu kutoka kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu.+

  • Marko 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Yuda Iskariote, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani ili amsaliti kwao.+

  • Luka 22:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Lakini Yesu akamwambia: “Yuda, je, wewe unamsaliti Mwana wa binadamu kwa busu?”+

  • Yohana 13:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa kweli, baadhi yao walikuwa wakifikiri, kwa kuwa Yuda alikuwa akilishika sanduku la pesa,+ kwamba Yesu alikuwa akimwambia: “Nunua vitu ambavyo tunahitaji kwa ajili ya sherehe,” au kwamba awape maskini kitu fulani.+

  • Matendo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki