47 Na alipokuwa bado akisema, tazama! Yuda,+ mmoja wa wale kumi na wawili, akaja pamoja na umati mkubwa ukiwa na mapanga+ na marungu kutoka kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu.+
29 Kwa kweli, baadhi yao walikuwa wakifikiri, kwa kuwa Yuda alikuwa akilishika sanduku la pesa,+ kwamba Yesu alikuwa akimwambia: “Nunua vitu ambavyo tunahitaji kwa ajili ya sherehe,” au kwamba awape maskini kitu fulani.+
16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+