Yohana 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yesu akamwambia: “Nina nini nawe, mwanamke?+ Saa yangu haijafika bado.”+ Yohana 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo wakaanza kutafuta kumkamata,+ lakini hakuna aliyemkamata, kwa sababu saa+ yake ilikuwa haijafika bado.
30 Kwa hiyo wakaanza kutafuta kumkamata,+ lakini hakuna aliyemkamata, kwa sababu saa+ yake ilikuwa haijafika bado.