Mathayo 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+ Yohana 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kama mngekuwa mmenijua, mngekuwa mmemjua Baba yangu pia; tangu dakika hii na kuendelea ninyi mnamjua na mmemwona.”+
27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
7 Kama mngekuwa mmenijua, mngekuwa mmemjua Baba yangu pia; tangu dakika hii na kuendelea ninyi mnamjua na mmemwona.”+