27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
19 Kwa hiyo wakaendelea kumwambia: “Yuko wapi Baba yako?” Yesu akajibu: “Ninyi hamnijui mimi wala Baba yangu.+ Kama mngenijua mimi, mngemjua Baba yangu pia.”+