Yohana 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+ Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako. 1 Yohana 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wao hutokana na ulimwengu;+ ndiyo sababu wanasema lile linalotoka kwa ulimwengu na ulimwengu huwasikiliza wao.+
19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+
6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.
5 Wao hutokana na ulimwengu;+ ndiyo sababu wanasema lile linalotoka kwa ulimwengu na ulimwengu huwasikiliza wao.+