Kumbukumbu la Torati 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+ Yohana 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Huyo mwanamke akamwambia: “Bwana, ninaona kwamba wewe ni nabii.+
22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+