Luka 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+ Luka 7:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Alipoona hayo yule Farisayo aliyemwalika akasema moyoni mwake: “Mtu huyu, kama angekuwa nabii,+ angejua mwanamke huyu anayemgusa ni nani na ni mtu wa aina gani, kwamba ni mtenda-dhambi.”+ Yohana 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu hiyo, wakamwambia tena kipofu yule: “Wewe unasema nini juu yake, kwa kuwa aliyafungua macho yako?” Mtu yule akasema: “Yeye ni nabii.”+
16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+
39 Alipoona hayo yule Farisayo aliyemwalika akasema moyoni mwake: “Mtu huyu, kama angekuwa nabii,+ angejua mwanamke huyu anayemgusa ni nani na ni mtu wa aina gani, kwamba ni mtenda-dhambi.”+
17 Kwa sababu hiyo, wakamwambia tena kipofu yule: “Wewe unasema nini juu yake, kwa kuwa aliyafungua macho yako?” Mtu yule akasema: “Yeye ni nabii.”+