Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi woga+ ukawashika wote, nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakisema: “Nabii+ mkuu ameinuliwa katikati yetu,” na, “Mungu amewaelekezea watu wake uangalifu wake.”+

  • Luka 7:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Alipoona hayo yule Farisayo aliyemwalika akasema moyoni mwake: “Mtu huyu, kama angekuwa nabii,+ angejua mwanamke huyu anayemgusa ni nani na ni mtu wa aina gani, kwamba ni mtenda-dhambi.”+

  • Yohana 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu hiyo, wakamwambia tena kipofu yule: “Wewe unasema nini juu yake, kwa kuwa aliyafungua macho yako?” Mtu yule akasema: “Yeye ni nabii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki