Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+

  • Yohana 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini Yesu mwenyewe hakuwa akiwatumaini+ kwa sababu aliwajua wote

  • Yohana 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 na kwa sababu hakuwa na uhitaji wa mtu yeyote kutoa ushahidi juu ya mwanadamu, kwa maana yeye mwenyewe alijua kile kilichokuwa ndani ya mwanadamu.+

  • Yohana 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sasa tunajua kwamba unajua mambo yote+ na huhitaji kuulizwa swali na yeyote.+ Kwa hili sisi tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki