Marko 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+ Yohana 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Yesu mwenyewe hakuwa akiwatumaini+ kwa sababu aliwajua wote Yohana 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 na kwa sababu hakuwa na uhitaji wa mtu yeyote kutoa ushahidi juu ya mwanadamu, kwa maana yeye mwenyewe alijua kile kilichokuwa ndani ya mwanadamu.+ Yohana 16:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa tunajua kwamba unajua mambo yote+ na huhitaji kuulizwa swali na yeyote.+ Kwa hili sisi tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.”+
8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+
25 na kwa sababu hakuwa na uhitaji wa mtu yeyote kutoa ushahidi juu ya mwanadamu, kwa maana yeye mwenyewe alijua kile kilichokuwa ndani ya mwanadamu.+
30 Sasa tunajua kwamba unajua mambo yote+ na huhitaji kuulizwa swali na yeyote.+ Kwa hili sisi tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.”+