12 Na umati ulikuwa ukinong’onezana mambo mengi juu yake.+ Baadhi yao wakawa wakisema: “Yeye ni mtu mwema.” Wengine wakawa wakisema: “Sivyo, bali yeye anaupotosha umati.”
16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao.