Yohana 4:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Basi akaja tena mpaka Kana+ ya Galilaya, ambako alikuwa amegeuza maji yakawa divai.+ Basi kulikuwako mtumishi fulani wa mfalme ambaye mwana wake alikuwa mgonjwa katika Kapernaumu.+
46 Basi akaja tena mpaka Kana+ ya Galilaya, ambako alikuwa amegeuza maji yakawa divai.+ Basi kulikuwako mtumishi fulani wa mfalme ambaye mwana wake alikuwa mgonjwa katika Kapernaumu.+