Yohana 6:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Haya ndiyo mapenzi yake aliyenituma, kwamba nisipoteze kitu chochote kati ya vyote ambavyo amenipa bali kwamba nikifufue+ katika siku ya mwisho. Yohana 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwalinda+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewatunza, na hata mmoja wao hakuangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko lipate kutimizwa.+
39 Haya ndiyo mapenzi yake aliyenituma, kwamba nisipoteze kitu chochote kati ya vyote ambavyo amenipa bali kwamba nikifufue+ katika siku ya mwisho.
12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwalinda+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewatunza, na hata mmoja wao hakuangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko lipate kutimizwa.+