Waroma 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+ Wagalatia 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa habari yangu, kupitia sheria nilikufa kuielekea sheria,+ ili niwe hai kumwelekea Mungu.+ Wakolosai 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+
14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+
14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+