Mhubiri 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Tazama! Nimeona hili peke yake, ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+ Yeremia 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua? Luka 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Yesu, akifahamu mawazo yao, akawajibu, akasema: “Ni nini mnachowaza mioyoni mwenu?+
29 Tazama! Nimeona hili peke yake, ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+