1 Wakorintho 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini hata kama ukifunga ndoa, hutakuwa ukifanya dhambi.+ Na kama bikira akifunga ndoa, mtu huyo hatakuwa akifanya dhambi. Hata hivyo, wale wanaofanya hivyo watakuwa na dhiki katika mwili wao.+ Lakini mimi ninawaepusha ninyi.
28 Lakini hata kama ukifunga ndoa, hutakuwa ukifanya dhambi.+ Na kama bikira akifunga ndoa, mtu huyo hatakuwa akifanya dhambi. Hata hivyo, wale wanaofanya hivyo watakuwa na dhiki katika mwili wao.+ Lakini mimi ninawaepusha ninyi.