1 Wakorintho 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ikiwa yeyote ana njaa, acheni ale nyumbani,+ ili msije pamoja kwa ajili ya kuhukumiwa.+ Lakini mambo yaliyobaki nitayarekebisha nitakapofika.
34 Ikiwa yeyote ana njaa, acheni ale nyumbani,+ ili msije pamoja kwa ajili ya kuhukumiwa.+ Lakini mambo yaliyobaki nitayarekebisha nitakapofika.