1 Wakorintho 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, hamna nyumba za kulia mlo na kunywea?+ Au je, mnalidharau kutaniko la Mungu na kuwaaibisha wale wasio na kitu?+ Nitawaambia ninyi nini? Je, nitawasifu ninyi? Katika hilo siwasifu ninyi.
22 Je, hamna nyumba za kulia mlo na kunywea?+ Au je, mnalidharau kutaniko la Mungu na kuwaaibisha wale wasio na kitu?+ Nitawaambia ninyi nini? Je, nitawasifu ninyi? Katika hilo siwasifu ninyi.