Waroma 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 au ni huduma, na tuwe katika huduma+ hii; au yeye anayefundisha,+ na awe katika kufundisha+ kwake; Waefeso 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+
11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+