Waroma 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja+ katika muungano na Kristo, lakini viungo ambavyo kila kimoja ni cha kile kingine.+ Waefeso 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ambalo ni mwili wake,+ ujazo+ wake anayejaza vitu vyote katika vyote.+ Wakolosai 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami, kwa upande wangu, ninajazia kinachopungua cha dhiki+ za Kristo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kutaniko.+
5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja+ katika muungano na Kristo, lakini viungo ambavyo kila kimoja ni cha kile kingine.+
24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami, kwa upande wangu, ninajazia kinachopungua cha dhiki+ za Kristo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kutaniko.+