Waroma 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini tukitumainia+ kile ambacho hatuoni,+ sisi huendelea kukingojea kwa uvumilivu.+ Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini.+ Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+