14 Mimi nisijisifu kamwe, isipokuwa katika mti wa mateso+ wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye ulimwengu umetundikwa mtini+ kwangu na mimi kwa ulimwengu.
8 Kwa hiyo, kwa kweli naviona vitu vyote kuwa hasara kwa sababu ya thamani bora zaidi ya kumjua Kristo Yesu Bwana wangu.+ Kwa sababu yake nimekubali hasara ya vitu vyote nami naviona kuwa takataka nyingi,+ ili niweze kumpata Kristo