Mwanzo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+ Waebrania 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ulimfanya mdogo kidogo kuliko malaika; ulimvika taji kwa utukufu na heshima,+ na kumweka juu ya kazi za mikono yako.+
7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+
7 Ulimfanya mdogo kidogo kuliko malaika; ulimvika taji kwa utukufu na heshima,+ na kumweka juu ya kazi za mikono yako.+