10 Kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu nilizopewa, mimi kama msimamizi wa ujenzi mwenye hekima niliweka msingi,+ lakini mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja na aendelee kuangalia jinsi anavyojenga juu yake.+
15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na watunzaji+ elfu kumi katika Kristo, hakika hamna baba wengi;+ kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+