27 Kwa maana Mwana wa binadamu anakusudiwa kuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, na ndipo atakapomlipa kila mmoja kulingana na mwenendo wake.+
10 Nina uhakika+ juu yenu ninyi ambao mko katika muungano+ na Bwana kwamba hamtakuja kufikiri tofauti; lakini yule anayewasababishia ninyi taabu+ atachukua hukumu yake,+ hata awe ni nani.