Zaburi 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Uwape kulingana na matendo yao+Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+Uwalipe matendo yao wenyewe.+ Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+ Methali 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+
4 Uwape kulingana na matendo yao+Na kulingana na ubaya wa mazoea yao.+Uwape kulingana na kazi ya mikono yao.+Uwalipe matendo yao wenyewe.+
12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+
12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+